Matukio

Mkutano wa Kamati ya Kisekta ya Matumizi ya Ardhi
Mahali

Morogoro

Tarehe

2018-09-05 - 2018-09-07

Muda

08:30am - 16:00pm

Madhumuni

To deliberate on land use planning, implementation and management issues

Event Contents

Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa kushirikiana na IUCN imeandaa mkutano wa siku 3 wa Kamati ya Kitaifa ya Kisekta ili kujadili na kuweka mapendekezo ya masuala mbalimbali yanayohusu upangaji, utekelezaji na usimamizi wa matumizi ya ardhi nchini. Kamati hii ya kisekta inaundwa na wajumbe kutoka Wizara na Taasisi za Serikali, Mashirika Binafsi na Asasi za Kiraia

Washiriki

Invited Members of the Land Use Planning Technical Commitee only

Ada ya Tukio

No fee

Simu

0222115573

Barua pepe

info@nlupc.go.tz