Matukio ya Hivi Karibuni
24
Oct
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Mis...
Makibo, Tumaini & Ukumbisiganga
18
Jun
NLUPC will convene a three-day Multistakeholder forum in Arusha, Tanzania, from 23rd ...
Arusha
Matangazo
Angalia ZaidiNifanyaje?
Hakuna Taarifa kwa sasaUratibu
Tume kama Mamlaka ya Upangaji ngazi ya Taifa ina jukumu la kuratibu kazi za mamlaka au taasisi zingine zinazojihusisha na masuala ya upangaji, utekelezaji na usimamizi wa matumizi ya ardhi na kuwa kama njia ya mawasiliano baina Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Taasisi zingine za ndani na nje ya nchi ambazo zinajihusisha na upangaji wa matumizi ya ardhi.
