Matukio ya Hivi Karibuni
09
Jan
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushiriki...
Kijiji cha Mtakuja, Mlele, Katavi
24
Oct
Baada ya kuandaliwa mipango ya matumizi ya ardhi ya Vijiji vya Seki na Buduba, wananchi zaidi ya...
Mwamala, Nzega
20
Sep
Kuwasilisha kwa Wadau Rasimu ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Mkoa wa Mara na Mpango wa Matumiz...
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mara
Habari Mpya
Angalia zaidiMatangazo
Angalia ZaidiNifanyaje?
Hakuna Taarifa kwa sasaUratibu
Tume kama Mamlaka ya Upangaji ngazi ya Taifa ina jukumu la kuratibu kazi za mamlaka au taasisi zingine zinazojihusisha na masuala ya upangaji, utekelezaji na usimamizi wa matumizi ya ardhi na kuwa kama njia ya mawasiliano baina Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Taasisi zingine za ndani na nje ya nchi ambazo zinajihusisha na upangaji wa matumizi ya ardhi.