Dira na Dhamira

Dira

Kuwa Taasisi bora nchini katika kuandaa, kuratibu upangaji na usimamizi shirikishi wa matumizi ya ardhi na rasilimali zake kwa maendeleo endelevu ya Miji na Vijiji.

Dhamira

Kuratibu Mamlaka za Upangaji na Wadau mbalimbali wa sekta ya ardhi katika Uandaaji, Usimamizi na Utekelezaji wa Mipango ya Matumizi ya ardhi kwa njia shirikishi na kwa kuzingatia Usawa ili kuleta tija na milki salama kwa wananchi kwa Maendeleo endelevu.