Matukio
| Mahali |
Mtumba, Dodoma |
|---|---|
| Tarehe |
2025-12-17 - 2025-12-17 |
| Muda |
08:00 - 14:00 |
| Madhumuni |
Hafla hiyo inawakutanisha wadau mbalimbali kutoka sekta tofauti, ikidhihirisha dhamira ya Serikali ya kuimarisha uratibu, uendelevu na ushirikishwa |
| Event Contents |
Hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Ufundi ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi inafanyika kwa lengo la kuizindua rasmi Kamati hiyo yenye jukumu la kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu uandaaji, usimamizi na utekelezaji wa mipango ya matumizi ya ardhi nchini. Hafla hiyo inawakutanisha wadau mbalimbali kutoka sekta tofauti, ikidhihirisha dhamira ya Serikali ya kuimarisha uratibu, uendelevu na ushirikishwaji katika upangaji wa matumizi ya ardhi kwa maendeleo ya kijamii, kiuchumi na uhifadhi wa mazingira. |
| Washiriki |
Minister for Lands Permanent Secretary - Lands Director General - NLUPC Land Use Technical Committee NLUPC Management |
| Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |
