Mkurugenzi Mkuu Bw. Joseph Constantine Mafuru Wasifu
Sehemu ya Wataalamu wa Mipango Miji na Vijiji kutoka Tume walioshirki Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wataalamu wa Mipango Miji uliofanyika Jijini Mwanza Novemba 27&28, 2025
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru akimuwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhandisi Antony Sanga kufunga Mkutano wa 10 wa mwaka wa Wataalamu wa Mipango Miji na Vijiji uliofanyika Jijini Mwanza tarehe 27&28/11/2025
Mkurugenzi wa Utafiti, Uzingatiaji na Mifumo Dkt. Joseph Paul, akifanya wasilisho kuhusu upangaji wa matumizi ya ardhi wakati wa kikao na ujumbe kutoka International Cooperation and Consultancy Center (ICCC) kilichofanyika tarehe 26 Novemba 2025.
Prof. Rocky Wen kutoka Taasisi ya International Cooperation and Consultancy Center (ICCC) ya China akitoa uzoefu kuhusu Upangaji wa Matumizi ya Ardhi nchini humo, wakati wa kikao cha pamoja kati ya ICCC na Tume kilichofanyika Jijini Dodoma, 26/11/2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Dkt. Leonard Douglas Akwilpo (MB) kuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dodoma 18/11/2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Kaspar Kaspar Mmuya (MB) kuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dodoma 18/11/2025
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru akiwasilisha Mada kuhusu Upangaji Matumizi ya Ardhi katika moja ya Mijadala inayoendelea kwenye Mkutano wa 30 wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) Belem, Brazil 13/11/2025
Kuhakikisha Haki za Umiliki wa Ardhi kwa Uhimilivu wa Tabianchi Tanzania: Suluhisho za Kidijitali kwa Umiliki Jumuishi, Uhimilivu wa Ikolojia na Ukuaji Endelevu wa Miji. #COP30
Mkurugenzi Mkuu wa Tume akiwa na Washiriki wengine katika Mkutano wa 30 wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) unaofanyika Belem, Brazil kuanzia Novemba 10 hadi 21, 2025.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC), Menejimenti na Watumishi wa Tume wanampongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (2025 - 2030)
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi Bw. Joseph C. Mafuru amewahimiza Watumishi wa Tume kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Jumatano tarehe 29 Oktoba 2025
Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Makibo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Sikonge mara baada ya kubaidhiwa Hati zao zilizoandaliwa na Tume kupitia Mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo
Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Thomas Myinga akikabidhi Hati ya Hakimiliki ya Kimila kwa mmoja wa wananchi wa Kijiji cha Makibo wakati wa Halfa iliyofanyika katika Kijiji hicho tarehe 25/10/2025. Hati hizo zimewezeshwa kwa ushirikiano wa NLUPC na TFS
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Bi. Sharifa Nabalang’anya alipofanya ziara ya kikazi kukagua zoezi la uandaaji mipango ya matumizi ya ardhi Wilayani humo 22/10/25
Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Kilino kilichopo katika Halmashauri ya Walaya ya Nzega wakiwa kwenye Mkutano wa Kijiji hicho kwa ajili ya kupitisha Mpango wa Matumizi ya Ardhi ulioandaliwa Kijijini hapo 18/10/2025