Matukio ya Hivi Karibuni
03
Jul
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Antony Sanga anatarajiwa kutembelea na ku...
Kigala Village, Makete, Njombe
16
Jun
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa kushirikiana na Halamashauri ya Wilaya ya Maket...
Makete, Njombe
16
Jun
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Dkt. Angeline Mabula anawasilisha Bungeni maka...
Bungeni, Dodoma
Habari Mpya
Angalia zaidiMatangazo
Angalia ZaidiNifanyaje?
Hakuna Taarifa kwa sasaKufanya Utafiti
Tume ina jukumu la kuimarisha na kuwezesha ukuaji wa taaluma na teknolojia katika matumizi ya ardhi kupitia tafiti na tathmini za usimamizi endelevu wa ardhi. Hivyo Tume inafanya na kuratibu ufanyikaji wa tafiti mbalimbali zinahosiana na upangaji wa matumizi ya ardhi nchini kwa kukusanya na hatimaye kutengeneza kanzidata kwa ajili ya kutoa taarifa juu ya tafiti hizo