Matukio ya Hivi Karibuni
24
Oct
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Mis...
Makibo, Tumaini & Ukumbisiganga
18
Jun
NLUPC will convene a three-day Multistakeholder forum in Arusha, Tanzania, from 23rd ...
Arusha
Matangazo
Angalia ZaidiNifanyaje?
Hakuna Taarifa kwa sasaKufanya Utafiti
Tume ina jukumu la kuimarisha na kuwezesha ukuaji wa taaluma na teknolojia katika matumizi ya ardhi kupitia tafiti na tathmini za usimamizi endelevu wa ardhi. Hivyo Tume inafanya na kuratibu ufanyikaji wa tafiti mbalimbali zinahosiana na upangaji wa matumizi ya ardhi nchini kwa kukusanya na hatimaye kutengeneza kanzidata kwa ajili ya kutoa taarifa juu ya tafiti hizo
