Matukio
| Mahali |
Makibo, Tumaini & Ukumbisiganga |
|---|---|
| Tarehe |
2025-10-25 - 2025-10-25 |
| Muda |
08:00 - 14:00 |
| Madhumuni |
Kuzindua zoezi la Ugawaji Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi |
| Event Contents |
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Halmashauri za Wilaya za Sikonge, Urambo na Kaliua itaanza Ugawaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Vijiji vya Makibo, Zugimlole, Tumaini na Ukumbisiganga zilizoandaliwa mara baada ya Vijiji hivyo kuandaliwa Mipango wa Matumizi ya Ardhi kupitia Mradi Shirikishi wa Misitu ya Miombo ya Nyanda Kame Tanzania (Integrated Landscape Management in Dry Miombo Woodlands of Tanzania). |
| Washiriki |
Mkuu wa Wilaya ya Mlele Viongozi wa Tume Viongozi wa TFS Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Wataalamu NLUPC/TFS |
| Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |
