Mkurugenzi Mkuu Bw. Joseph Constantine Mafuru Wasifu
Afisa Mifugo wa Tume Bw. Zaidi Mwinori (aliyesimama) akitoa elimu juu ya Usimamizi wa Rasilimali Ardhii kwa Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, Baraza la Ardhi la Kijiji na Kamati ya Usimamizi Matumizi ya Ardhi wakati wa uandaaji Mpango wa Matumizi ya Ardhi
Sehemu ya Wananchi wa Kijiji cha Nondwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi wakimsikiliza Afisa Ardhi Mkuu kutoka Tume Bw. Nyerembe Munasa (kulia) wakati wa Mkutano wa Kijiji kutambulisha zoezi la Uandaji Mpango wa Matumizi ya Ardhi wa Kijiji hicho 13/02/25
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za Kamati hiyo kwa kipindi cha Februari 2024 hadi Januari 2025
Mkuu wa Wilaya ya Mlele Alhaj Majid Mwanga akikabidhi Hati ya Hakimiliki ya Kimila kwa mwananchi wa Kijiji cha Mtakuja mara baada ya Kijiji hicho kuwezeshwa kuandaa Mpango wa Matumizi ya Ardhi kupitia Mradi wa Usimamzi Shirikishi wa Miombo -DSL IP 10/1/25
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mtakuja walionufaika na Hatimiliki wakiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Wilaya ya Mlele, Tume, TFS na Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Katavi mara baada ya kukabidhiwa Hatimiliki hizo na Mkuu wa Wilaya ya Mlele
Ugawaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Kijiji cha Mtakuja zilizoandaliwa kupitia Mradi Shirikishi wa Misitu ya Miombo ya Nyanda Kame Tanzania (Integrated Landscape Management in Dry Miombo Woodlands of Tanzania).
Sehemu ya Wananchi wa Kijiji cha Idetemya kilichopo katika Kata ya Nyabulanda, Wilayani Nyang'hwale wakiwa kwenye Mkutano wa Kijiji cha ajili ya kujadili Mpango wa Matumizi ya Ardhi wa Kijiji hicho uliwasilishwa na Halmashauri ya Kijiji 05/01/2025
Wataalamu kutoka Tume wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Tawala Mkoa wa Geita (Katikati mwenye Tai) mara baada ya mazungumzo juu ya uandaaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 14 Wialayani Nyang'hwale 27/12/2024
Baadhi ya Wananchi wa Vijiji vya Ntilili na Igalukiro Mkoani Katavi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kupatiwa Hatimiliki zilizoandaliwa na Tume kupitia Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Uhifadhi wa Bioanuai Tanzania (SLR) 21/11/2024
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda akikabidhi Hati ya Hakimili ya Kimila kwa mwananchi wa Kijiji cha Igalukiro katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimwe mara baada ya Kijiji hicho kuandaliwa Mpango wa Matumizi ya Ardhi
Wataalamu wa Tume wakiwa kwenye Kikao Kazi kwa ajili ya maandalizi ya kazi ya Ufuatliaji na Tathmini ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi pamoja na Uzingativu wa uandaji wa Mipango hiyo inayofanyika katika Halmashauri za Wilaya 15 nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru (Katikati - waliosimama) akiwa kwenye picha ya pamoja na ujumbe wa USAID mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo ya namna ya kushirikiana katika kutekeleza sehemu ya Mradi wa USAID TUHIFADHI MALIASILI
Mjumbe wa Kamati ya Usimamizi wa Matumizi ya Ardhi ya Kijiji akitoa maelezo kwenye Ramani ya Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Kijiji hicho iliyopelekea kuandaliwa kwa Hati za Hakimiliki za Kimila
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Nzega ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mhe. Mohamed M. Mtulyakwaku akikabidhi Hati ya Hakimiliki ya Kimila kwa mmoja wa mwananchi wa Kijiji cha Seki katika Halfa ya ugawaji Hatimiliki hizo iliyofanyika katika Kijiji cha Seki
Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Seki kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mgeni Rasmi mara baada ya kukabidhiwa Hati za Hakimiliki za Kimila 25/10/2024