Mkurugenzi Mkuu Bw. Joseph Constantine Mafuru Wasifu
Mkurugenzi Mkuu wa Tume, Bw. Joseph Mafuru, akiongoza kikao kati ya NLUPC na IUCN kujadili utekelezaji wa mradi wa Nature-Based Solutions pamoja na kubainisha fursa mpya za ushirikiano katika masuala ya mipango ya matumizi ya ardhi na uhifadhi wa mazingir
Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Twente nchini Uholanzi wakipata maelezo kutoka kwa viongozi wa Kijiji cha Selela Wilayani Monduli, Mkoa wa Arusha, wakati wa ziara ya mafunzo kuhusu utekelezaji wa mipango ya matumizi ya ardhi katika nyanda za malisho.
Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Twente nchini Uholanzi wakiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi na Watumishi wa Tume mara baada ya kumaliza kikao kazi kuhusu matumizi ya GIS na fursa za ushirikiano kati ya Tume na Chuo hicho, kilichofanyika Jijini Dodoma
Wakufunzi kutoka Chuo Kikuu cha Twente nchini Uholanzi wakitoa mada kuhusu matumizi ya GIS na fursa za ushirikiano kati ya Tume na Chuo hicho, wakati wa kikao kazi na wataalamu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kilichofanyika Jijini Dodoma.
Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Majojoro, Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, wakishiriki mkutano wa kijiji kwa ajili ya mchakato wa uandaaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila (CCROs) kupitia uwezeshaji wa Tume kwa kushirikiana na shirika la ADAP.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Upangaji Matumizi ya Ardhi mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, walipofanya ziara ya kukagua Mradi huo katika Kijiji cha Ubembe, Muheza,
Afisa Ardhi Mkuu wa Tume Adv. Otmary Komba akitoa elimu juu ya Upangaji, Usimamizi na Utekelezaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa wananchi wa Kijiji cha Taigo, Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Mkoani Manyara 13/03/2026
Wanawake kutoka Tume wakipata mbele ya Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary S. Senyamule wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Mbande, Wilayani Kongwa 08/03/2026.
Wanawake kutoka Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi wakiwa tayari kwa ajili ya kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo Kimkoa yalifanyika katika Wilaya ya Kongwa tarehe 08/03/2026
Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa Kaspar Mmuya, akikabidhi hati ya umiliki kwa mwananchi wa Kijiji cha Namagondo wakati wa hafla ya ugawaji wa hatimiliki hizo iliyofanyika kijijini hapo tarehe 16 Februari 2026.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume, Bw. Joseph Mafuru, akitoa taarifa ya kazi ya uandaaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila (CCROs) kwa wananchi wa vijiji viwili Wilayani Ukerewe mbele ya Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, 16/2/26
Mkurugenzi Mkuu wa Tume akisaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) mbele ya Mshauri Mkuu wa Kiufundi wa Programu ya FORLAND, yenye lengo la kuwezesha uandaaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji zaidi ya 160 katika Mikoa minne nchini.
Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Mhe. Grace Kingalame, akikabidhi tuzo kwa Mkurugenzi wa Upangaji Matumizi ya Ardhi, Usimamizi na Uratibu (DLUPMC), Bw. Jonas Masingija, kutambua mchango wa Tume katika kuwezesha uandaaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi
Mtaalamu kutoka Tume, Bi. Esther Rapemo, akitoa elimu kuhusu Sheria za Rasilimali Ardhi kwa wananchi wa Kijiji cha Pashungu, Wilayani Mbeya, wakati wa zoezi la utambulisho wa uandaaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 8, lililofanyika 16/01/2026
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Timetheo Mzava akisisitiza jambo wakati wa kikao cha Kamati hiyo na Wizara ya Ardhi kilichokuwa na lengo la kuifahamu Wizara ya Ardhi na Taasisi zake kilichofanyika 15/01/2026.