Matukio ya Hivi Karibuni
09
Jan
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushiriki...
Kijiji cha Mtakuja, Mlele, Katavi
24
Oct
Baada ya kuandaliwa mipango ya matumizi ya ardhi ya Vijiji vya Seki na Buduba, wananchi zaidi ya...
Mwamala, Nzega
20
Sep
Kuwasilisha kwa Wadau Rasimu ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Mkoa wa Mara na Mpango wa Matumiz...
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mara
Habari Mpya
Angalia zaidiMatangazo
Angalia ZaidiNifanyaje?
Hakuna Taarifa kwa sasaUtumiaji wa Mwongozo wa Upangaji Matumizi ya Ardhi ya Vijiji
Imewekwa: Apr 24, 2018
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi inawatangazia wadau wote wa masuala ya matumizi ya ardhi nchini kutumia mwongozo mpya wa upangaji wa matumizi ya ardhi ulioboreshwa kwa kuzingatia changamoto na hali halisi ya gjarama za upangaji matumizi ya ardhi ya kijiji. Mwongozo huo unapatikana katika tovuti ya Tume