Matukio ya Hivi Karibuni
03
Mar
Kikao cha Baraza la Wafanyakazi kitafanyika Jijini Dodoma kwa ajili ya Kupokea, Kujadili na Kupit...
Ukumbi wa Jiji, Mtumba, Dodoma
09
Jan
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushiriki...
Kijiji cha Mtakuja, Mlele, Katavi
Habari Mpya
Angalia zaidiMatangazo
Angalia ZaidiNifanyaje?
Hakuna Taarifa kwa sasaUtumiaji wa Mwongozo wa Upangaji Matumizi ya Ardhi ya Vijiji
Imewekwa: Apr 24, 2018
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi inawatangazia wadau wote wa masuala ya matumizi ya ardhi nchini kutumia mwongozo mpya wa upangaji wa matumizi ya ardhi ulioboreshwa kwa kuzingatia changamoto na hali halisi ya gjarama za upangaji matumizi ya ardhi ya kijiji. Mwongozo huo unapatikana katika tovuti ya Tume