Matukio

Mkutano wa Kimataifa Kuhusu Mandhari Mbalimbali za Afrika, Tarehe 12 - 15 Novemba 2019 Katika Ukumbi wa AICC, Jijini Arusha - Tanzania
Mahali

Arusha International Conference Centre, Arusha - Tanzania

Tarehe

2019-11-12 - 2019-11-15

Muda

0830am - 1730

Madhumuni

Sharing experiences and inculcate knowledge of cross-sector approaches for sustainable rural development

Event Contents

Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa kushirikiana na Taasisi ya EcoAgriculture imeandaa Mkutano wa Kimataifa kuhusu Mandhari mbalimbali katika Bara la Afrika (African Landscapes Dialogue) uliopangwa kufanyika Jijini Arusha, Tanzania kuanzia tarehe 12-15 Novemba 2019 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC). Lengo kuu la uendeshaji wa makongamano haya ni kuwakutanisha wadau mbalimbali katika Afrika na nje ya Afrika kuweza kujadili, kujifunza na kuainisha mambo muhimu ya kuzingatia ili kudumisha ushirikiano na kuboresha mandhari mbalimbali za Bara la Afrika.

Washiriki

Only registered national and international participants

Ada ya Tukio

USD 350

Simu

022242424

Barua pepe

info@nlupc.go.tz