Matukio

Bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mahali

Bungeni, Dodoma

Tarehe

2023-05-25 - 2023-05-26

Muda

09:00 - 20:00

Madhumuni

Kuwasilisha, Kujadili na Kupitisha bajeti ya Wizara

Event Contents

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Dkt. Angeline Mabula anawasilisha Bungeni makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fungu namba 48 la Wizara, pamoja na Fungu namba 03 la Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi

Washiriki

Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Barua pepe

dg@nlupc.go.tz