Matukio
Mahali |
NLUPC Conference Hall, Dodoma |
---|---|
Tarehe |
2023-01-18 - 2023-01-19 |
Muda |
08:00 AM - 04:00 PM |
Madhumuni |
Capacity building |
Event Contents |
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi itaendesha mafunzo ya Uandaaji wa Mipango ya Matumizi ya Wilaya kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Milki za Ardhi nchini (LTIP) unaotekelezwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi |
Washiriki |
Wataalamu kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Halmashauri husika |
Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |