Matukio
| Mahali | 
                               Mwamala, Nzega  |  
                          
|---|---|
| Tarehe | 
                               2024-10-25 - 2024-10-25  |  
                          
| Muda | 
                               08:00 - 16:00  |  
                          
| Madhumuni | 
                               
 Hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Vijiji vya Seki na Buduba katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoan  |  
                          
| Event Contents | 
                               
 Baada ya kuandaliwa mipango ya matumizi ya ardhi ya Vijiji vya Seki na Buduba, wananchi zaidi ya 1,300 wataanza kupatiwa Hati za Hakimiliki za Kimila  |  
                          
| Washiriki |  
                               
 Mh. Mkuu wa Wilaya DED NLUPC Wananchi  |  
                          
| Barua pepe | 
                               dg@nlupc.go.tz  | 
                          
      