Matukio
Mahali |
Mwamala, Nzega |
---|---|
Tarehe |
2024-10-25 - 2024-10-25 |
Muda |
08:00 - 16:00 |
Madhumuni |
Hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Vijiji vya Seki na Buduba katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoan |
Event Contents |
Baada ya kuandaliwa mipango ya matumizi ya ardhi ya Vijiji vya Seki na Buduba, wananchi zaidi ya 1,300 wataanza kupatiwa Hati za Hakimiliki za Kimila |
Washiriki |
Mh. Mkuu wa Wilaya DED NLUPC Wananchi |
Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |