Matukio
| Mahali |
Mwamala, Nzega |
|---|---|
| Tarehe |
2024-10-25 - 2024-10-25 |
| Muda |
08:00 - 16:00 |
| Madhumuni |
Hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Vijiji vya Seki na Buduba katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoan |
| Event Contents |
Baada ya kuandaliwa mipango ya matumizi ya ardhi ya Vijiji vya Seki na Buduba, wananchi zaidi ya 1,300 wataanza kupatiwa Hati za Hakimiliki za Kimila |
| Washiriki |
Mh. Mkuu wa Wilaya DED NLUPC Wananchi |
| Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |
