Matukio

Halfa la Ugawaji wa Hati za Hatimiliki za Kimila kwa Wananchi wa Kijiji cha Mtakuja, katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, mkoa wa Katavi
Mahali

Kijiji cha Mtakuja, Mlele, Katavi

Tarehe

2025-01-10 - 2025-01-10

Muda

08:00 - 16:00

Madhumuni

Kuzindua zoezi la Ugawaji Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Kijiji cha Mtakuja

Event Contents

Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Halmashauri ya Wilaya ya Mlele itaanza Ugawaji wa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Kijiji cha Mtakuja zilizoandaliwa mara baada ya Kijiji hicho kuandaa Mpango wa Matumizi ya Ardhi kupitia Mradi Shirikishi wa Misitu ya Miombo ya Nyanda Kame Tanzania (Integrated Landscape Management in Dry Miombo Woodlands of Tanzania).

Washiriki

Mkuu wa Wilaya ya Mlele

Viongozi wa Tume

Viongozi wa TFS

Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

Wataalamu NLUPC/TFS

Barua pepe

dg@nlupc.go.tz