Matukio
Mahali |
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC), Nsimbo, Katavi |
---|---|
Tarehe |
2022-08-02 - 2022-08-02 |
Muda |
08:00 AM - 04:00 PM |
Madhumuni |
Kukusanya maoni juu ya Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Wilaya |
Event Contents |
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa kushirikiana na Halamashauri ya Wilaya ya Kigoma na Shirika la Jane Goodall imeandaa kikao cha wadau kwa lengo ya kukusanya maoni yatakayotumiak kuandaa Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. |
Washiriki |
Viongozi wa Wilaya, Wataalamu na Wadau wa AMtumizi ya Ardhi, Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Katavi. |
Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |