Matukio
Mahali |
OSHA Building Conference Hall, Dodoma |
---|---|
Tarehe |
2022-06-24 - 2022-06-24 |
Muda |
08:00 AM - 04:00 PM |
Madhumuni |
Kupitia na Kujadili utekelezaji kazi 2021/2022 na Bajeti ya Tume kwa mwaka wa fedha 2022/2023 |
Event Contents |
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi imeunda Baraza la Wafanyakazi wa Tume linalojumuisha Menejimenti ya Tume, Chama Cha Wafanyakazi (TUGHE) Tawi la Tume, Wawakilishi kutoka Idara, Kanda Wanawake pamoja na Vijana. Mgemi Rasmi Katika kikao hiki ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ndg. Nicholas Mkapa |
Washiriki |
Wajumbe wa Baraza |
Barua pepe |
dg@nlupc.go.tz |