Matukio

Uzinduzi wa Zoezi la Kupanga, Kupima Ardhi na Kumilikisha
Mahali

Makete, Njombe

Tarehe

2023-06-15 - 2023-06-15

Muda

08:00 - 16:00

Madhumuni

Kuhamasisha upangaji, upimaji na umilikishaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha ngano

Event Contents

Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa kushirikiana na Halamashauri ya Wilaya ya Makete inatarajiwa kuwezesha uandaaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Ardhi ya Vijiji 44, kupima na kumilikisha wananchi ardhi kupitia Hatimiliki za Kimila

Washiriki

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Halmashauri ya Wilaya ya Makete

Barua pepe

dg@nlupc.go.tz